shamba linauzwa kiluvya.

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,260
Reaction score
9,747
shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima.
Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
Call 0717354243
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…