Shamba linauzwa ekari 12

Shamba linauzwa ekari 12

yahayabaidu

Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
17
Reaction score
5
Shamba lenye minazi pamoja na mikorosho linauzwa. Lipo wilayani Mkuranga katika kijiji kiitwacho Magoza. Ni tambarare na ni eneo la mchanga mweupe. Bei maelewano. Pia halipo mbali na barabara ya magari na gari inafika mpaka shambani.

Kwa anayehitaji, wasiliana nami kwa namba: 0653-61-57-29 au 0682-835-945.
 
Back
Top Bottom