Tshs 6,500,000/heka 20
= Tshs 325,000/heka
Umepanda miti mimngapi kila heka??
Hakuna migogoro huko??
Hakuna kuchomeana mashamba??
Miti imekua yote shamba zima (hakuna iliyokataa)??
Mikuza ipo??
Majirani zako nao wamelima??
We ni Mwenye Shamba, mwangalizi, dalali, jirani au nani??