Shamba la ekari 150 linauzwa mkoani njombe

Shamba la ekari 150 linauzwa mkoani njombe

LIGEDENGE 1

Senior Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
184
Reaction score
29
shamba lipo kijiji cha mgala kabla hujafika kifanya,na lipo umbali wa km 40 toka songea road.linafaa kwa kupanda miti,bei ni tshs. laki 1 kwa kila ekari 1. 0718317773
 
shamba lipo kijiji cha mgala kabla hujafika kifanya,na lipo umbali wa km 40 toka songea road.linafaa kwa kupanda miti,bei ni tshs. laki 1 kwa kila ekari 1. 0718317773
Mkuu shamba bado lipo
 
Jamani nauza Nyumba Songea ipo Mkuzo karibu na msamala bei ni maelewano.
Nipigie 0756 303344
Karibu tufanye biashara.
 
Back
Top Bottom