Ehehehe kweli tutakuja kujenga kweli sisi masikini,hapo on evarage inaonyesha haka moja karibia milioni 44.5 khaaaaaaaaaa,hapo tukienda mbele robo heka sawa na mil 11 tena nje ya mji daaaaa hatareeeee,bora hiyo hela niende mbezi lous ninaweza nikapata heka 100