Kuna mashamba yanauzwa Dodoma eneo linaitwa NTYUKA km 5 toka Dodoma mjini upande wa Kusini-Mashariki mwa Dodoma barabara ya kuelekea MVUMI mission.
Kata ya Ntyuka imepakana na Chuo kikuu cha Dodoma upande wa mashariki ni karibu na Hospitali moja mashuhuri sana hapa Dodoma inaitwa DCMC. Kuliona eneo hili waweza kugoogle kwa key word-NTYUKA au fungua Tovuti ya UDOM utaona raman nzima ya NTYUKA.
Mashamba yanauzwa bei tofauti tofauti kulingana na ukubwa wa eneo,wenyeji huuza kwa bei za kawaida sana kulingana na mahitaji ya muuzaji na mnunuzi.
Kwa eneo dogo kabisa la 30X30M unawezapata kwa 2M na ekari moja unawezapata kwa 6M ila bei haitabiliki vizuri maana ni makubaliano na muuzaji.
System ya maji na umeme ipo pia gharama za ujenzi ni nafuu sana kwani Roli la mchanga ni kati ya Tsh45,000-55,000 roli la mawe kati ya 70,000 had 85,000 kokoto 120,000-150000 hivyo kama ukijipanga unaweza nunua na kujenga nyumba ya kawaida kwa gharama nafuu sana.
Kama utapenda kujichukulia eneo waweza wasiliana nami nikuunganishe na wenye mashamba,sifanyi udalali wala biashara ila nimependa kuwashirikisha wale wenye kuhitaji.Kwa maelekezo zaidi waweza kini-PM kama uko serious.
Angalizo:
Eneo halijipimwa na mamlaka ya ustawishaji makao makuu CDA hivyo bado liko chini ya Serikali ya Kijiji.Ila ni sehemu salama na linakua kwa haraka sana miundo mbinu yote ipo.
Kata ya Ntyuka imepakana na Chuo kikuu cha Dodoma upande wa mashariki ni karibu na Hospitali moja mashuhuri sana hapa Dodoma inaitwa DCMC. Kuliona eneo hili waweza kugoogle kwa key word-NTYUKA au fungua Tovuti ya UDOM utaona raman nzima ya NTYUKA.
Mashamba yanauzwa bei tofauti tofauti kulingana na ukubwa wa eneo,wenyeji huuza kwa bei za kawaida sana kulingana na mahitaji ya muuzaji na mnunuzi.
Kwa eneo dogo kabisa la 30X30M unawezapata kwa 2M na ekari moja unawezapata kwa 6M ila bei haitabiliki vizuri maana ni makubaliano na muuzaji.
System ya maji na umeme ipo pia gharama za ujenzi ni nafuu sana kwani Roli la mchanga ni kati ya Tsh45,000-55,000 roli la mawe kati ya 70,000 had 85,000 kokoto 120,000-150000 hivyo kama ukijipanga unaweza nunua na kujenga nyumba ya kawaida kwa gharama nafuu sana.
Kama utapenda kujichukulia eneo waweza wasiliana nami nikuunganishe na wenye mashamba,sifanyi udalali wala biashara ila nimependa kuwashirikisha wale wenye kuhitaji.Kwa maelekezo zaidi waweza kini-PM kama uko serious.
Angalizo:
Eneo halijipimwa na mamlaka ya ustawishaji makao makuu CDA hivyo bado liko chini ya Serikali ya Kijiji.Ila ni sehemu salama na linakua kwa haraka sana miundo mbinu yote ipo.