Shamba ekari tano linauzwa Morogoro

Shamba ekari tano linauzwa Morogoro

CHIEFMANGU

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2016
Posts
654
Reaction score
1,070
Wadau wa kilimo,nina shamba langu ekari 5 linapatikana maeneo ya kingolwira,umbali wa kama km 20 kutoka main road,(Dar - Moro).
Pnafikika vizuri kabisa kwa usafiri wowote,ninauza kwa sababu nina uhitaji mkubwa wa pesa kwa muda mfupi,ni shamba salama lisilo na mgogoro wowote!!!
Bei ni Tsh.800,000/= tu,kwa ekari moja.
For serious buyers karibu Pm.
 
Duuh Mkuu mbona umeshuka sana,Fanya walau 700,000/=
 
Maximum 2.5 M kwa Ekari zote 5.

Je pako jirani na chanzo cha Maji?

Panafikika kwa gari hadi shambani hata kipindi cha Mvua nyingi?
 
Maximum 2.5 M kwa Ekari zote 5.

Je pako jirani na chanzo cha Maji?

Panafikika kwa gari hadi shambani hata kipindi cha Mvua nyingi?
Panafikika hata kipindi cha mvua,maji yapo mbali aisee,ila unaweza kuchimba kisima ukalima misimu yote unayotaka,mimi nilikisudia kuchimba kisima then nifanye projects za kilimo na ufugaji,lakini kuna mambo ya dharula sana,yamejitokeza nalazimika kuzima ndoto zangu kwa sasa!!!
 
Na nasikia manispaa watakuja kupapima miaka ijayo.....itakuwa sio mashamba ila viwanja...mkuu ntakucheck pm tuongee biashara
 
Na nasikia manispaa watakuja kupapima miaka ijayo.....itakuwa sio mashamba ila viwanja...mkuu ntakucheck pm tuongee biashara
It is very true,nliweka hazina kwa vizazi vijavyo,maana haya mashamba yapo ndani ya mipaka ya manispaa,wakati fulani tunatoa vitu tunavyovipenda ili ku-rescue situation tu,kwa hiyo atakaye jitwalia eneo hili hakika atakuwa amejiwekea hazina kubwa sana baadaye!!!
 
Duh mkuu ngoja nichakalike tuongee biashara kama bado utakuwa haujapata mteja
 
km
Wadau wa kilimo,nina shamba langu ekari 5 linapatikana maeneo ya kingolwira,umbali wa kama km 20 kutoka main road,(Dar - Moro).
Pnafikika vizuri kabisa kwa usafiri wowote,ninauza kwa sababu nina uhitaji mkubwa wa pesa kwa muda mfupi,ni shamba salama lisilo na mgogoro wowote!!!
Bei ni Tsh.800,000/= tu,kwa ekari moja.
For serious buyers karibu Pm.
20km toka main rd, wewe ilikuwa Unakuta Nini hapo ?
 
Ukweli kingolwira hakutakuwa na mashamba tena eneo kubwa manispaa waliingia ubia na UTT kukanunua viwanja vyao pia kuna eneo kubwa limetengwa kujenga viwanda na wakujenga kutoka singapore walishakuja sasa sijui ila kabla hujanunua wasiliana na viongozi wa Ardhi kwanza
 
Ukweli kingolwira hakutakuwa na mashamba tena eneo kubwa manispaa waliingia ubia na UTT kukanunua viwanja vyao pia kuna eneo kubwa limetengwa kujenga viwanda na wakujenga kutoka singapore walishakuja sasa sijui ila kabla hujanunua wasiliana na viongozi wa Ardhi kwanza
Mkuu eneo lipo free kabisa,hakuna hata chembe ya mgogoro,eneo la viwanda unalosema ni upande wa kiegea,maeneo ya mashamba yapo,kuna number of professors from SUA,wanaendesha shughuli zao za kilimo huko,na hati miliki zimetolewa kuhalalisha umiliki wa mashamba,kwa hiyo usipate hofu kabisa!!!
 
Ukweli kingolwira hakutakuwa na mashamba tena eneo kubwa manispaa waliingia ubia na UTT kukanunua viwanja vyao pia kuna eneo kubwa limetengwa kujenga viwanda na wakujenga kutoka singapore walishakuja sasa sijui ila kabla hujanunua wasiliana na viongozi wa Ardhi kwanza
Aisee umesema jambo la maana sana maana unaweza kununua sehemu iliyotengwa ikakuletea shida baadaye!
 
Viwanda vinaanzia huku upande wa junior semenary na ofisi za wajenzi zipo hapo pameandikwa star city ndio linaenda hadi huko kiegeya ni eneo kubwa sana,sijasema wasinunue ila ushauri wangu ni kuwa kingolwira ni mjini sana hivyo baadae hakutakuwa na mashamba tena anaetaka kununua si vibaya kuonana na watu wa ardhi ili kuepuka kuja kulaumiana na serikali ni hivyo tu
 
Viwanda vinaanzia huku upande wa junior semenary na ofisi za wajenzi zipo hapo pameandikwa star city ndio linaenda hadi huko kiegeya ni eneo kubwa sana,sijasema wasinunue ila ushauri wangu ni kuwa kingolwira ni mjini sana hivyo baadae hakutakuwa na mashamba tena anaetaka kununua si vibaya kuonana na watu wa ardhi ili kuepuka kuja kulaumiana na serikali ni hivyo tu
Thanks.

Good advice.
 
Aisee umesema jambo la maana sana maana unaweza kununua sehemu iliyotengwa ikakuletea shida baadaye!
Mbona issue ni rahisi tu,unafika manispaa kitengo cha Ardhi,wanakupa maelekezo na ufafanuzi,then unaamua!!
 
Back
Top Bottom