AFRIKAMOJA
Member
- Aug 11, 2022
- 30
- 37
Hakuna wapinzani kwasasa, kama wapo wataje.wapinzani wakianza atapotezwa ile mbaya,umejiuliza kwa nini wanakataza mikutano ya wapinzani?
Hana jipya zaidi ya kutafuta perdiem tu huyo... ameshaachana na Joho wa Mombassa?Ziara za mwenezi Shaka zinakuwa za moto sana maana anaeleza kazi kubwa anayoifanya Rais Samia Suluhu Hassan kwa wananchi.
Anasikiliza kero na kuhakikisha wahusika wanatoa majibu halisia...wakibabaisha chama kinatoa mwelekeo au ushauri kwa serikali...balaa zaidi anajishusha na kujichanganya na wananchi wa kawaida kabisa hii ni siasa kubwa sana.
Hakika haya yote yanakipa Chama cha Mapinduzi hamasa kubwa kwa umma na kuwapa wananchi matumaini na imani zaidi kwa chama na serikali yao...piga kazi mwenezi wetu kwani huo ndio uenezi.
View attachment 2325840View attachment 2325842View attachment 2325843View attachment 2325845View attachment 2325846View attachment 2325847View attachment 2325851View attachment 2325852
Joho wa Mombasa anahusikaje tena hapo mkuu?Hana jipya zaidi ya kutafuta perdiem tu huyo... ameshaachana na Joho wa Mombassa?
Hujaelewa lugha ya picha?Joho wa Mombasa anahusikaje tena hapo mkuu?
Shaka ni mtu na nusu, kazi nzuri SanaZiara za mwenezi Shaka zinakuwa za moto sana maana anaeleza kazi kubwa anayoifanya Rais Samia Suluhu Hassan kwa wananchi.
Anasikiliza kero na kuhakikisha wahusika wanatoa majibu halisia...wakibabaisha chama kinatoa mwelekeo au ushauri kwa serikali...balaa zaidi anajishusha na kujichanganya na wananchi wa kawaida kabisa hii ni siasa kubwa sana.
Hakika haya yote yanakipa Chama cha Mapinduzi hamasa kubwa kwa umma na kuwapa wananchi matumaini na imani zaidi kwa chama na serikali yao...piga kazi mwenezi wetu kwani huo ndio uenezi.
View attachment 2325840View attachment 2325842View attachment 2325843View attachment 2325845View attachment 2325846View attachment 2325847View attachment 2325851View attachment 2325852