1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 453
- 1,797
Pambaneni na hali yenu kama timu yenu ni saccos ya wanamatumbo🤔Leo nimemsikia Shaffih Dauda akiongelea mchezo wa Simba na Power Dynamo,.anahofu kuwa kuna mgogoro ndani ya klabu ya Simba, kwamba hawako pamoja...
Huyo mpuuzi apuuzwe tuLeo nimemsikia Shaffih Dauda akiongelea mchezo wa Simba na Power Dynamo,.anahofu kuwa kuna mgogoro ndani ya klabu ya Simba, kwamba hawako pamoja, bado wale walioshindwa uchaguzi wana kinyongo.
Kama ni kweli basi msitarajie Robertinho kuonyesha ufundi, wachezaji wataonekana wazito, hawana uwezo kumbe wamefungwa miguu na wasioitakia mema klabu yetu. Msiturudishe enzi za akina marehemu Juma Salum.
Huyu bwenga anaeleweka ni mfitiniUkweli hata SIMBA wakiwa na migogoro kimataifa wanakuwa pamoja, huyo Jamaa huenda anatumika.
huyu ni muongo anatafuta kikiLeo nimemsikia Shaffih Dauda akiongelea mchezo wa Simba na Power Dynamo,.anahofu kuwa kuna mgogoro ndani ya klabu ya Simba, kwamba hawako pamoja, bado wale walioshindwa uchaguzi wana kinyongo.
Kama ni kweli basi msitarajie Robertinho kuonyesha ufundi, wachezaji wataonekana wazito, hawana uwezo kumbe wamefungwa miguu na wasioitakia mema klabu yetu. Msiturudishe enzi za akina marehemu Juma Salum.
Waandishi walizoea bahasha toka kwa GSM,kule Simba hakuna Bahasha..hutaki kuizungumzia acha..walitegemea walipiwe nauli na posho juu..wakaaambiwa anayetaka kuambatana na timu ajitegemee wakanuna..GSM akawaambia kuna Coaster za bure njooni..
bakini kwenye enzi hizo hizo...sisi wale twaruka pruuuuuuLeo nimemsikia Shaffih Dauda akiongelea mchezo wa Simba na Power Dynamo,.anahofu kuwa kuna mgogoro ndani ya klabu ya Simba, kwamba hawako pamoja, bado wale walioshindwa uchaguzi wana kinyongo.
Kama ni kweli basi msitarajie Robertinho kuonyesha ufundi, wachezaji wataonekana wazito, hawana uwezo kumbe wamefungwa miguu na wasioitakia mema klabu yetu. Msiturudishe enzi za akina marehemu Juma Salum.
Rudini kwenye huu Uzi nyie mbumbumbu.