duh.. masha hana uwezo wa kutangaza hali ya hatari! So, hakuna kitu kama hicho kilichotangazwa. Jamani, hali ya Hatari is a legal concept siyo kitu tu kirahisi rahisi.
I can agree on the question of legal concept, however, the rates of death in relation to conflict should not be ignored. Such angles, reminded me of Rwanda with legal concept of genocide. In no way, i am comparing Rwanda to Tarime, however, i am finding myself curious to understand what is going on in Tarime! With due respect to legal announcement of security state, i found the silence of the state of Tarime matter absurd!
PH: hili la Tarime wengine tumelipigia kelele sana. Tatizo lake ni kuwa wanalikabili hiili kama suala la kiusalama na kuacha the underlying causes of conflict. Suala la Tarime si la kijeshi bali ni la kijamii. Kutafuta suluhisho la kijeshi kwa matatizo ya kijamii matokeo yake ni kuliendeleza jambo hilo kwani kwani jamii itarithishana tatizo hilo.
PH: hili la Tarime wengine tumelipigia kelele sana. Tatizo lake ni kuwa wanalikabili hiili kama suala la kiusalama na kuacha the underlying causes of conflict. Suala la Tarime si la kijeshi bali ni la kijamii. Kutafuta suluhisho la kijeshi kwa matatizo ya kijamii matokeo yake ni kuliendeleza jambo hilo kwani kwani jamii itarithishana tatizo hilo.
duh.. masha hana uwezo wa kutangaza hali ya hatari! So, hakuna kitu kama hicho kilichotangazwa. Jamani, hali ya Hatari is a legal concept siyo kitu tu kirahisi rahisi.
PH: hili la Tarime wengine tumelipigia kelele sana. Tatizo lake ni kuwa wanalikabili hiili kama suala la kiusalama na kuacha the underlying causes of conflict. Suala la Tarime si la kijeshi bali ni la kijamii. Kutafuta suluhisho la kijeshi kwa matatizo ya kijamii matokeo yake ni kuliendeleza jambo hilo kwani kwani jamii itarithishana tatizo hilo.