Nimeangalia mechi ya Yanga na Biashara Mara, kwakweli wachezaji wengi wana afya duni, wanaanguka anguka tu uwanjani, ipo haja ya kuangalia upya maswala ya menyu kitaifa.
Nimeangalia mechi ya Yanga na Biashara Mara, kwakweli wachezaji wengi wana afya duni, wanaanguka anguka tu uwanjani, ipo haja ya kuangalia upya maswala ya menyu kitaifa.
Siasa hapo hakuna lolote kikokotoo Rais aliisha saini alihairisha tu Wastaafu jiandae Maumivu ni yale yale ya kulipwa Asilimia 25% zinazobaki ni Pensheni ya kila Mwezi