Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,755
- 218,372
Magufuli alishawahi kuyakataa malori kwa vile yanaharibu barabara , sasa kama alimaanisha kweli ni wakati wa kuifufua reli .Waifutilie mbali PPRA kutokana na ukosefu wao wa UZALENDO, kitengo hicho kisitumiwe na wafanya biashara wa malori ya kubebea mizigo kipiga vita ujenzi wa reli ya kati?? Wanakuja na horror stories za kutunga tu - mbona katika utawala wa JK hatukuwai kusikia ngonjera za namna hiyo - kumetokea nini hapa katikati, yaani Taifa suddenly tunajifanya hivi sasa reli haina umuhimu wowote!!!
Kuna wakati fulani Mh.Kinana na wengine waliwahi kuwa sceptical na kitengo hiki cha manunuzi ya UMMA, kama Dk.Magufuli anataka kufanikiwa katika malengo yake kwenye sekta nyeti, basi kuna ulazima wa kukifutilia mbali kitengo hiki au kukifanyia reform ya haraka sana - linapo kuja suala nyeti kama ujenzi wa reli watu hawa wasishirikishwe kabisa.
Dk.Magufuli azungumze na Serikali ya China moja kwa moja waone watatusaidia vipi, binafsi nina imani na Wachina kuliko Mataifa ya magharibi, hata Kenya kuna waswahili/viongozi walikuwa wanawapiga vita Wachina wasijenge reli, walikuwa wanatoa visingizio kama vya PPRA lakini Kenyatta aliwapuuzia ndio maana reli inajengwa kwa kasi ya kutisha - ujenzi wa reli ya kati una umuhimu wa pekee Nchini - Dk.Magufuli husikubali watu wenye ajenda zao kukwamisha ujenzi wa reli kwa kutoa visingizio vya kutunga,kila siku wana move/shift goal posts - na mchezo huu umekuwa more pronouced kwenye utawala wako - WHY?
Dk.Magufuli amuombe ushauri Rais Kenyatta au Raila watampa mbinu walizotumia kupata msaada wa Serikali ya China - our lifeline ya kutuwezesha kujenga reli ya kati itapatikana Uchina si pengine - tuwe wakweli hapa, yaani tunashindwa Nchini za Africa magharibi zinazo jenga reli kwa msaada/wataalamu wa China - mfano Nigeria na Cameroon/B.Faso kama sikosei - sisi tuna matatizo gani lakini? We don't seem 2 get our priorities right!!
Watu watawaombea wakiona kunauhitaji wa kufanya hivyo. Tatizo imekuwa wimbo jambo kidogo utasikia niombeen. Hivi swala la Zanzibar, watu wasiokuwa na makazi kutokana na bomoa bomoa, wagonjwa, watu wanakufa njaa dodoma.... tuache kuwaombea hao tuhangaike na viongozi wa serikali. Mwisho wa siku utamsikia Nape nae anaomba tumuombeee......! NyambafuHawa watu ni waadilifu tuwaombee maana wanakutana na mambo magumu wanahitaji maombi ili wasonge mbele na utaratibu wa maombi ni wa kawaida tu wa wacha Mungu
Kazi ya kutumbua majipu si lelemama,yajitaji baraka za munguSasa umekuwa ni wimbo wa kawaida kila anapo hutubia wananchi utasikia anasema naomba watanzania mniombee,tukuombee kitu gani?kuchukua form ya uongozi wa nchi ulichukua mwenyewe ukachaguliwa sasa unacho ogopa na kuomba watanzania wakuombee ni nini?tunacho weza kukuomba ni kupiga kazi yavkutumbua majipu yoote
Magufuli alishawahi kuyakataa malori kwa vile yanaharibu barabara , sasa kama alimaanisha kweli ni wakati wa kuifufua reli .
Naona umesahau kiota chako cha kutagia.....unaanzisha thread unacomment mwenyewe, mbona lowasa alisema tumuombee hukuanzisha thread?????
Watu watawaombea wakiona kunauhitaji wa kufanya hivyo. Tatizo imekuwa wimbo jambo kidogo utasikia niombeen. Hivi swala la Zanzibar, watu wasiokuwa na makazi kutokana na bomoa bomoa, wagonjwa, watu wanakufa njaa dodoma.... tuache kuwaombea hao tuhangaike na viongozi wa serikali. Mwisho wa siku utamsikia Nape nae anaomba tumuombeee......! Nyambafu
Mkuu hao ndio viwavi wa lumumba, ukigusa mapunguvu ya uongozi wao tu unashambuliwa kama msalitiNaona umesahau kiota chako cha kutagia.....
Njoo nitagie....
Lowasa kaingiaje hapo
Hii aibu mtakuja kujuta na ubabe wenu wa kiutawalaHii ni nchi ya vyama vingi, mawazo yako sio lazima yafanane na yangu, ndio uhuru wenyewe wa habari.
Loawasa alienda kanisani ambako alijua kuna watu wake,sasa hii ngonjera mnayotoa kila siku mkiwa ikulu mali ya watanzania wote eti mtuombeeee?muombewe mna majini?Lowassa alivyoenda kanisani na kuwaomba waumini wamuombee ashinde uraisi hukuliona hilo, serikali ikiwaomba watu wake waiombee unashangaa....SMFH!!!
Hakuna aibu yoyote inategemea upeo wako wa kuyaelewa mambo ya kidiplomasia. JK aliwalemaza sana kifikra mkafikirie kuwa uongozi huwa wa aina moja tu.Hii aibu mtakuja kujuta na ubabe wenu wa kiutawalaView attachment 322048
Mtajuta sanaHakuna aibu yoyote inategemea upeo wako wa kuyaelewa mambo ya kidiplomasia. JK aliwalemaza sana kifikra mkafikirie kuwa uongozi huwa wa aina moja tu.
Nyinyi mtaendelea kuiombea mabaya serikali, na hamjaanza upuuzi huo jana wala juzi, mnazeeka na ujinga huo.Mtajuta sana