chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,758
- 2,530
yaani ndio umenikumbusha hiyo 666 park avenue ninayo niangaliaga kidogo ckuendelea hebu ngoja nije niifukue cjui itakuwa wapi
Sasa mm na uongo kama huo yaani mbalimbali kabisa
Iyo haina ubishi Lost in best best series of all time...
Ilikuwa inagusa maisha ya kila mtu anayeitazama..
Haitakuja kutokea kama ile...
666 park avenue ni nzuri na ilipoishia patamu but kuna mda ina lost plot..
mmmh!!! ngoja nitajaribu kuiangalia tena ckuipenda kihivyo
Wakuu napenda series za intellegencia naomba kujua ni movie zipi zenye mambo ya cia and fba
mmmh!!! mie hizi hata ckuzipenda aisee
Nzuri. Utaipenda.
Angalia na:-
Stalker
Twisted
If loving you is wrong
thanx alot
Iyo haina ubishi Lost in best best series of all time...
Ilikuwa inagusa maisha ya kila mtu anayeitazama..
Haitakuja kutokea kama ile...
Hapana sio kwamba uongo jinsi plot ilivokaa lazima utatamani kujua mwisho wake ni nini...inagusa maisha ya pande zote kwa ujumla....Lost sijapata kuona tena series kama ile.
Bado nasubiria kurejea kwa Mandy "The Assassin." Huwa anatokea mara chache sana lakini kila anapopita lazima aache maafa makubwa!!! I like the girl hadi basi...
kumbe we tunaweza kukaa pamoja tukaangalia series... kuna uncle angu basi utakuta anakuja ghetto anaanza kusifia series aliyocheki kwa kuwa anafahamu nami ni mdau... ukimuuliza kama anayo, kwa shangwe anakugea ili u-enjoy...bwana he! utashangaa ile picha ya kwanza tu anaanza kutokea mtu macho yamechomoka yameshikia kwa kiuzi kidooogo huku yanaburuza chini....!!!! hapo hata aniambie huko mbele ni mzuri namna gani... wala sitakuwa na muda wa kusubiria huko mbele...
hahaaaaaa yaani umenifanya nicheke mpaka basi, movie za hivyo jamani natoa fastaaa km nimeshikiwa bunduki, ctakagi hata kuzickia
hahahaaaa..! muvi unaangalia huku mwenyewe unatishika.! Tabu yote ya nini hiyo.
Kwangu mm ni 24 ndo sitakaa nipende series nyingine zaidi ya 24 sidhani kabisa aseeeee. Hapana chezea jack Bauer na president Palmer. Curtis O'Brien Almeda Buchanan na season iloisha ya tisa kuna vichwa pia vikali......just a single name just like Madonna hahaha
Anna Lucia and sawyer Benjamin Linus walifanya vzr
Anna Lucia and sawyer Benjamin Linus walifanya vzr
Anna Lucia walimkatisha coz aliomba wamtoa alikuwa na project nyingine kama ilivokuwa kwa Eccko