Sera ya Taifa ya Senene....Bila hivyo 2015 hapatoshi

ahahaaa sijawala saaaana muda mwingi nilikuwaga shule ...so sijawai kuexperience hiyo kitu besides those days nilizokuwa zote nilikuwa bado kuanza hayo mambo..mimi mambo ya malavidavi nimeanza juzi tu mwaka wa tatu college ujue.

Anyway, tutafanyia utafiti observation yako ili tuone kama ni aspect nyingine ya kutilia mkazo idea ya kuwa na sera ya kitaifa ya maendeleo ya Senene

Si unajua Doctor MziziMkavu anapata sana wateja wengi wanaohitaji ku-boost "mnyegelisho"
 
Last edited by a moderator:
Anyway, tutafanyia utafiti observation yako ili tuone kama ni aspect nyingine ya kutilia mkazo idea ya kuwa na sera ya kitaifa ya maendeleo ya Senene

Si unajua Doctor MziziMkavu anapata sana wateja wengi wanaohitaji ku-boost "mnyegelisho"
ahahaaa namuaminia....hivi mna shida gani wanaume wa digital na manhood zenu?
 
ahahaaa namuaminia....hivi mna shida gani wanaume wa digital na manhood zenu?
Rekebisha kauli Smile,

Sema "baadhi" na tumia neno "wana" shida gani...

Then kama wapo watakusaidia jibu...
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa, mkuu umenikumbusha nikiwa mdogo...tulikuwa tunaita "kubaka" senene

nakumbuka miaka ya 90 kijijini nashindana na kaka zangu kukamata senene halafu baadae mnahesabu nani amekamata wengi. Makaka wote wanafamilia zao sasa mjini. Kitambo aisee
 
Umeanza lini wizi?

Ile aidia ya kukuajiri konsaltant ufanye upembuzi yakinifu ushafanya yako hadi kuajiri mtu mpya?

hivi hujui firm yetu ilivyo na mawings mengi!
mkataba wetu na wewe sidhani kama una kipengele kinachokupa mamlaka ya kutuchagulia aina ya biashara ya kufanya na hata tuajiri nani na kuacha nani!AU?
by the way nimeacha invoice hapo ofisini kwako!
 

infwact na miiimi niiimoh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…