semina inahusu utambuzi,yaani ni semina inayomsaidia mtu kukua kiutambuzi,sio kimwili,bali kimawazo na kumuwezesha kila mtu kuingia ndani yake ili aweze kuyafanya maisha yake kuwa mepesi na kuepukana na dhana mbovu ya kuwa "mimi siwezi" karibuni sana jamani