Sema Ukweli: Jangili aliyekamatwa ndiye kakukimbiza CCM

hakuna hadithi tamu kwa sasa..tuangalie njia ingine
 
Makosa si atakuwa ameyafanya akiwa CCM? Apambane na hali yake kama ni kweli
 
alipoanzia kuzungumzia katiba mpya huyo jangili alishakamatwa? Hawa inzi wa kijani buana!
 
jana hukuandika hii....!!
 
Ni kweli huyu jamaa ni mfadhili wa majangili. Kaharibu sana taasisi hii nyeti na ama kwa hakika cha moto atakiona.
 
Mkuu habari za huyu ndugu kuhama chama ni za siku nyingi saaaana. Zilikuwepo nyingi za under the carpet sio amekurupuka ni wazo la siku nyingi. Ziara zake zilikuwa na KUSUDI.
 
Ndio siasa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…