"Naomba pia muache mambo ya kupigapiga picha (Selfie) unasema ndio naenda sasa kufanya kazi, mnaona sasa nipo kwenye gari najiandaa, hayo mambo yamepitwa na wakati, ukifanya kazi utaonekana tu, sio kuwa bize kwenye mitandao” - Magufuli.
kuwa ofisi nzuri au mbaya sio maajabu maana hiyo sio ofisi yake? Hakuna alisema ofisi ni mbaya , hapa tupo na kauli yake ya kijinga kuwa hapendi viongozi kupiga mapicha kuweka mitandaoni.
kuwa ofisi nzuri au mbaya sio maajabu maana hiyo sio ofisi yake? Hakuna alisema ofisi ni mbaya , hapa tupo na kauli yake ya kijinga kuwa hapendi viongozi kupiga mapicha kuweka mitandaoni.