Sekondary ya mataira.

Senator p

JF-Expert Member
Oct 27, 2011
282
43
Kuna sekondar moja iko mjini kahama shinyanga,jna limehfadhiwa.Yaani ile sekondary ni ya mataira director wa shule elimu yke darara la pili,mkurungenz wke hakusoma,mkuu wa shule ana digrii lakin hana maamuz yoyote hta km mwanafunz hafai ktk taaruma,second master hana sfa wala uwezo na huwa anavuta bng ktk vyoo vya walimu.Yote tisa + 1=91,academic & ndio wenye busara.Tatzo hawana maamuz,wenye maamuz ni mwasibu,ambaye nae hajasomea uhasibu.
 

Md kuna lugha nyingi ambazo unazizuia lakini kama mtu je ametumia lugha ya kumkashifu binadamu mwenzake kama vile kutumia neno 'taahira' kubeba uchafu au uwezo mdogowa kufikiria mtu alionao mie naona concept hiyo ni wrong kutumiwa katika kuelezea mambo machafu au uwezo mdogo wa kufikiria mtu alio nao. Kwani nielewavyo mtu 'taahira' ni mwenye ulemavu wa akili- 'means people with mild or severe interlectual disability and who may need support in learning living skills.

Tusitumie lugha ngumu za kuwadhalilisha wenzetu ndugu yangu yawezekana ni ndugu yako au jirani yako au ndugu yangu au jirani yangu au mwanangu.

Critical thinkers in here at JF never use abusive language, punguza makali.

Nawasilisha.
 

Kama umewahii kupitia walau shule ya msingi, na hapa kwetu TV na radio nyingi zinatangaza kwa kiswahili na hata magazeti yanaandika kwa kiswahili, na kiswahili ni lugha ya taifa lakini bado umeandika kwa kiswahili cha daraja hilo.basi chonde chonde usiende kuomba kazi TANESCO maana mgao wa umeme utaongezeka. Hahahaha!!!!!!!
 
Saikoloj ipo poa sana mdau
 
Duh! Hiyo itakuwa kubwa kulko ila shule yenyew kama nilishaiski siyo r....a's kwel.okey poa ndo yenyewe nimeikumbuka.ila mwakani wana mpango wa kwenda kupata milembe kupata tiba isikuumize mno
 
sio kweli.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…