Sijapata kuona ushauri wa ajabu kama huu! Mkuu hebu nitajie hata mmoja msafi ndani ya hicho Chama sembuse Kamati Kuu. Unataka kukiua chama wewe.
Sijapata kuona ushauri wa ajabu kama huu! Mkuu hebu nitajie hata mmoja msafi ndani ya hicho Chama sembuse Kamati Kuu. Unataka kukiua chama wewe.
Napenda kutoa rai yangu kwa SECRETARIAT KUU ya CCM ichukue hatua juu ya maazimio ya kujivua gamba yaliyoafikiwa mwezi wa sita!
Nyinyi ni watendaji wakuu ndani ya chama ambao mnatakiwa muwe wabunifu katika kuendesha chama, acheni kupambana na CHADEMA,tafuteni sera nzuri zinazoweza kutekelezwa ili wananchi wawe na imani na serikali ya CCM.
Acheni woga wakuwafukuza wanachama wezi na ambao si waaminifu kwa CHAMA.
MAFISADI wanapata kiburi kwa vile mnaweka maazimio ambayo hamuwezi kuyatekeleza.Kama ROSTAM alitii,
kwa nini mnaacha mtandao wake?
Fukuzeni wakaanzishe CHAMA chao cha KIFIDI waone uchungu wakutunyonya badala yakulindana !
Napenda kutoa rai yangu kwa SECRETARIAT KUU ya CCM ichukue hatua juu ya maazimio ya kujivua gamba yaliyoafikiwa mwezi wa sita!
Nyinyi ni watendaji wakuu ndani ya chama ambao mnatakiwa muwe wabunifu katika kuendesha chama, acheni kupambana na CHADEMA,tafuteni sera nzuri zinazoweza kutekelezwa ili wananchi wawe na imani na serikali ya CCM.
Acheni woga wakuwafukuza wanachama wezi na ambao si waaminifu kwa CHAMA.
MAFISADI wanapata kiburi kwa vile mnaweka maazimio ambayo hamuwezi kuyatekeleza.Kama ROSTAM alitii, kwa nini mnaacha mtandao wake?
Fukuzeni wakaanzishe CHAMA chao cha KIFIDI waone uchungu wakutunyonya badala yakulindana !
Napenda kutoa rai yangu kwa SECRETARIAT KUU ya CCM ichukue hatua juu ya maazimio ya kujivua gamba yaliyoafikiwa mwezi wa sita!
Nyinyi ni watendaji wakuu ndani ya chama ambao mnatakiwa muwe wabunifu katika kuendesha chama, acheni kupambana na CHADEMA,tafuteni sera nzuri zinazoweza kutekelezwa ili wananchi wawe na imani na serikali ya CCM.
Acheni woga wakuwafukuza wanachama wezi na ambao si waaminifu kwa CHAMA.
MAFISADI wanapata kiburi kwa vile mnaweka maazimio ambayo hamuwezi kuyatekeleza.Kama ROSTAM alitii, kwa nini mnaacha mtandao wake?
Fukuzeni wakaanzishe CHAMA chao cha KIFIDI waone uchungu wakutunyonya badala yakulindana !
Napenda kutoa rai yangu kwa SECRETARIAT KUU ya CCM ichukue hatua juu ya maazimio ya kujivua gamba yaliyoafikiwa mwezi wa sita!
Nyinyi ni watendaji wakuu ndani ya chama ambao mnatakiwa muwe wabunifu katika kuendesha chama, acheni kupambana na CHADEMA,tafuteni sera nzuri zinazoweza kutekelezwa ili wananchi wawe na imani na serikali ya CCM.
Acheni woga wakuwafukuza wanachama wezi na ambao si waaminifu kwa CHAMA.
MAFISADI wanapata kiburi kwa vile mnaweka maazimio ambayo hamuwezi kuyatekeleza.Kama ROSTAM alitii, kwa nini mnaacha mtandao wake?
Fukuzeni wakaanzishe CHAMA chao cha KIFIDI waone uchungu wakutunyonya badala yakulindana !
jombaa acha uongo, ccm hakuna gamba ila kulikuwa na tetesi za hapa na pale lakini nazo zilizokosa ushahidi. Chama kinanukia waridi na manukato ya muscat
ushauri wa maana na si wa kupuuzwa hata kidogo kwa mustakabali wa chama chetu but my note is that asifukuzwe mtu bila uthibisho wa dhahiri kuhusika kwenye ufisadi na sio kutumia shutuma za magazetini au kamati zenye watu ambao ni mahasimu wa watuhumiwa kisiasa.ccm juu