KIFPA
Member
- Oct 3, 2012
- 64
- 18
Jamani wan Jamvi, napenda kuwashirikisha masikitiko yangu kwa hiki kilichotokea kwenye 2nd round admision ya vyuo vikuu na nitatoa mfano wa chuo kimoja.
Jumapili nilijisajili CUHAS na kabla ya kuendelea nililazimika kufanya malipo kwanza. Jana nilifanya malipo na katika kufanya malipo nilikutana na wenzangu wengine nao wakilipia.
Baada ya kuatach bank pay-in-slip system ikatujulisha kuwa tusubiri activation email kwenye email zetu ndani ya masaa 24 ili tuendelee kuchagua kozi tunazotaka.
Leo naamka naangalia email sijaona mpaka sasa na kibaya zaidi ile page ya kulog in imeandikwa admision closed (unaweza hakiki)
Nimewapigia simu kwa namba walizotoa hawapokei maana nilitaka niwaulize mbona wamefunga admision mapema tofauti na tangazo lao lilivyosema?(lilisema tarehe10/10/2017) maana siku haijaisha
Ombi kwenu wadau naomba mnishauri nifanye nini wakati vi hela vyangu 30,000 nilivyoomboea niliomba kwa mtu wamevichukua.
Licha ya hilo nimesumbuka sana maana ninaishi kijijini na huwa naenda mjini kwenye internet cafe kuapply.
Kwa mnaojua sheria je ntazidai vipi? au niende ile tume ya ushindani sijui ambayo hushughulikia malalamiko ya wateja ili wanilipe na fidia.
Nataka ushauri wenu ili nitunze evidences ambazo zingine bado zinapatikana kama za admision closed maana ni kinyume na TCU.
Jumapili nilijisajili CUHAS na kabla ya kuendelea nililazimika kufanya malipo kwanza. Jana nilifanya malipo na katika kufanya malipo nilikutana na wenzangu wengine nao wakilipia.
Baada ya kuatach bank pay-in-slip system ikatujulisha kuwa tusubiri activation email kwenye email zetu ndani ya masaa 24 ili tuendelee kuchagua kozi tunazotaka.
Leo naamka naangalia email sijaona mpaka sasa na kibaya zaidi ile page ya kulog in imeandikwa admision closed (unaweza hakiki)
Nimewapigia simu kwa namba walizotoa hawapokei maana nilitaka niwaulize mbona wamefunga admision mapema tofauti na tangazo lao lilivyosema?(lilisema tarehe10/10/2017) maana siku haijaisha
Ombi kwenu wadau naomba mnishauri nifanye nini wakati vi hela vyangu 30,000 nilivyoomboea niliomba kwa mtu wamevichukua.
Licha ya hilo nimesumbuka sana maana ninaishi kijijini na huwa naenda mjini kwenye internet cafe kuapply.
Kwa mnaojua sheria je ntazidai vipi? au niende ile tume ya ushindani sijui ambayo hushughulikia malalamiko ya wateja ili wanilipe na fidia.
Nataka ushauri wenu ili nitunze evidences ambazo zingine bado zinapatikana kama za admision closed maana ni kinyume na TCU.