Kuna moja sasa hivi inaitwa The Battle of Harvest Moon. Waosvieti walilipua satelaiti zote za Marekani wakatuma balozi aende White House kutoa Ultimatum. Hahahaha David Beter ukimsikiliza unaweza ukaugua kichaaa. ππ±π±π±
Hivi ana matatizo Dr. Beter?.
Profile yake inaonyesha kashawahi kuwa chini ya Clinton Adminstration kama sikosei lakini mbona anaongea vitu vya ajabu!.
Kuna moja sasa hivi inaitwa The Battle of Harvest Moon. Waosvieti walilipua satelaiti zote za Marekani wakatuma balozi aende White House kutoa Ultimatum. Hahahaha David Beter ukimsikiliza unaweza ukaugua kichaaa. ππ±π±π±