Hilo tatizo lipo kama huna ujuzi wa simu means sio fundi simu nakusahauri upeleke kwa fundi afix hilo maana hilo tatizo ni bugs zilizopo katika toleo la Oreo kwa model kama j730gm na nyingine katika J7 series
Ila kama una ujuzi tafuta Twrp ya hiyo simu (TeamWin Recovery Project ) uflash kisha download firmware ya kufix hiyo kitu ambayo ipo zipped utaflash kwenye recovery mode ambayo ndo ile twrp ya hiyo sim uloflash awali