mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
Ahsante....karibu tufanye biasharaChip=cheep?
Keypad=kipard?
Rekebisha hizo, kila la kheri kwenye biashara.
Warranty?Samahani wakuu na habarini za jioni au sijui niseme usiku.
Ninauza samsung galaxy tab 10.1, 32GB, full HD,inatumia cheep(cim card) Na ina cover yenye kipard.
Bei yake ni TSh.laki 7 and no blah blah. Kitu bado kipyaa....yaani nimeitumia Mwezi na nusu tu.
KWa mwenye kuihitaji naomba aniPM au anipigie cim 0712 954 516
Mkuu ondoa shaka....kitu ni cha ukweli kabisa,mnanunua za kichina halafu mnajitia mmetumia mwezi,ili tusi doubt bei.
Kobello, ondoa shaka kitu ni chaukweli kabisa....unajua nimenunua Ipad 3 hapa juzi that'z y naiuza hii Galax tabWarranty?
Mkuu siyo ya mkandarasi....sema nimepata Ipad 3 hapa juzi that'z y nimeamua kuiuza Hiyo Galaxy tabSio ya mkandarasi kweli hiyo?
Samahani wakuu na habarini za jioni au sijui niseme usiku.
Ninauza samsung galaxy tab 10.1, 32GB, full HD,inatumia cheep(cim card) Na ina cover yenye kipard.
Bei yake ni TSh.laki 7 and no blah blah. Kitu bado kipyaa....yaani nimeitumia Mwezi na nusu tu.
KWa mwenye kuihitaji naomba aniPM au anipigie cim 0712 954 516