sijui kwa nini sijaitoa tu, nimeisamehe siitoi, nakereka kuona pamoja na kuweka tangazo bado watu wanapost humu matangazo ya kuuza/kununua, ntaanza kufuta na ambae hasikii soon ntaanza kutoa adhabu maana hamsikii
sijui kwa nini sijaitoa tu, nimeisamehe siitoi, nakereka kuona pamoja na kuweka tangazo bado watu wanapost humu matangazo ya kuuza/kununua, ntaanza kufuta na ambae hasikii soon ntaanza kutoa adhabu maana hamsikii