mudrick smart
Member
- Sep 17, 2017
- 11
- 1
Bado mpya kabisa
Bei: 185000
Location: kigamboni
Mawasiliano: 0675057693
Bei: 185000
Location: kigamboni
Mawasiliano: 0675057693
Hivi kwanini mnanunua sm za bei kubwa hivyo ebu pitieni sm za tekno being kawaida ila quality yake balaa
Msikalili
Ni kweli kabisa,hilo ndio tatizo lake kubwa..My phone hii ndo natumia..
Ila zinashida moja..
Ikibaki hata storage ya mb 200+ inakwambia memory imejaa futaa vitu. Huwez kuona image mpaka ufute.
Hakuna kisicho na kasoro
Ndani ya miezi sita inakuwa si simu ile uliyoinunua.Hivi kwanini mnanunua sm za bei kubwa hivyo ebu pitieni sm za tekno being kawaida ila quality yake balaa
Msikalili