Simu za Samsung hua naona za ovyo hasa upande wa betri (Japo naitumia pia )kwanini?
S series... wewe jeUnatumia series gani??
Good A30 series nimeuza..Mie A series
Samsung sijui wanafeli wapi asee...Yeah inasumbua sana kwenye storage
No zilikuwepo zote...Oohh so ndiyo ukanunua S??
Kweli ata mimi sijawahi tumia simu nyingine tofauti na Samsung.. Mm kwenye chaji tu ndo wanaboaMimi Samsung for life sijawahi zikubali wala zitumia smartphone za aina nyingine zaidi ya Samsung