Samsung galaxy grand prime plus

RJ45

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2014
Posts
340
Reaction score
119
nauza samsung galaxy grand prime plus nimeitumia mwezi mmoja na siku 4. haina tatizo lolote naiuza niongezee pesa ninunue simu nyingine kubwa zaidi. kwa wasiojua specification zake hizi:
camera ya mbele 5mp na flash
camera ya nyuma 8mp na flash
internal 8gb
RAM 1.5gb
ni duos (laini 2)
inasuport 4G LTE laini zote 2
battery 2600 mAh
price Tsh 260,000/=
napatikana dar-ubungo
nichek whatsapp 0713280314
 
Mkuu kuna 100000 hapa...
 
Kuna 150k hapa
 
Mwenye hiyo pesa aje nimpatie simu mpya boxed Rangi atachagua mwenyewe
Tatzo hzo mpya hata ukilialia haupati chini ya bei hyo ila hiz used katoa ofa 260 itauzwa kwa 140
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…