Samsung camera inauzwa

Mmmh kaka mbona bei yako kubwa sana
 
Vip iyo bei ni fixed au ni tunaongea kaka
 
Yap Naitaji iyo Nikon D3200 na lens yake
 
Sawa ila na za Nikon D3200 unayo kaka Nikon Em Naitaji iyo na si canon
 
Niambie iyo Nikon Kaka Nikon D 3200
 
Nilitaka kusema hata mie aisee maana long time nimetembea sana na camera kiunoni kwa ajili ya kazi na camera kama hiyo ilikuwa inafika mpaka laki 3 ama 4 lakini siku hizi mmhh ni balaa kupata mteja...ila wadau wapo watakuja
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…