Dah ila maisha,,,,hizi simu ndo wanazikopesha,,,, kila siku 1000/1500! Unalipa mwaka mzima, na kianzio juu umetoa! Ukijichanganya kukopa unaweza kuinunua hii simu karibia mara tatu yake ya bei halisi ! Mikopo inafilisi !
Dah ila maisha,,,,hizi simu ndo wanazikopesha,,,, kila siku 1000/1500! Unalipa mwaka mzima, na kianzio juu umetoa! Ukijichanganya kukopa unaweza kuinunua hii simu karibia mara tatu yake ya bei halisi ! Mikopo inafilisi !
Mm situmii Samsung chief ! Nimezungumzia hali halisi Ilivyo mtaani ! Kuna simu, bajaj , pkpk za mikopo n.k! Mtu unalipia mara mbili ya bei halisi! Umasikini huu dah, mikopo sio poa
Mm situmii Samsung chief ! Nimezungumzia hali halisi Ilivyo mtaani ! Kuna simu, bajaj , pkpk za mikopo n.k! Mtu unalipia mara mbili ya bei halisi! Umasikini huu dah, mikopo sio poa
Ni kweli mkuu japo nilikuquote kimakosa, watanzania sijui ni kwa sbb ya umaskini ama wakati mwingine ufahamu mdogo, wanafurika kwenye mikopo kiasi kwamba mtu anatembea amejaa mikopo mwili mzima, kuanzia mkopo wa vocha, simu, na ndani ya simu kuna songesha na wakopeshaji wengine wa mitandaoni, bado kuna kausha damu huko mitaani na list inaendelea...