Zack Abdul JF-Expert Member Joined Mar 9, 2026 Posts 784 Reaction score 696 Sep 2, 2026 #1 🔺Ni ili Mwaka wa Fedha 2028/2029 kila kaya iwe na bima 🔸Maoni ya wadau tayari, kifuatacho kubadili sheria NHIF 🔹Hakuna ubaguzi, kaya masikini nchi nzima kugharamiwa Kazi Na Utu Tunasongambele
🔺Ni ili Mwaka wa Fedha 2028/2029 kila kaya iwe na bima 🔸Maoni ya wadau tayari, kifuatacho kubadili sheria NHIF 🔹Hakuna ubaguzi, kaya masikini nchi nzima kugharamiwa Kazi Na Utu Tunasongambele
ashomile JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 2,936 Reaction score 3,049 Sep 2, 2026 #2 Hawataweza niamini hakuna sekta ngumu kama sekta ya afya inahitaji serikali imara, lakini serikali hii ina mzigo mkubwa kuliweka pamoja taifa lililopotea siyo kazi rahisi.
Hawataweza niamini hakuna sekta ngumu kama sekta ya afya inahitaji serikali imara, lakini serikali hii ina mzigo mkubwa kuliweka pamoja taifa lililopotea siyo kazi rahisi.