Nahisi aibu na ww umepata maana hiyo source kwanza imedanganya umri wa samatta au we hujaona....anyway point ni kuwa hakuna binadamu aliyekamilika maana huwezi kuwa perfect muda wote hata google kuna maneno ukiandika inashindwa kutafsiri so Huyo alikosea kwa bahat mbaya, ni just kumuelekeza tu