Kwa mwandishi wa habari kufanya hivyo kwenye mahojiano ni unethical and unprofessional. Amedhalilisha fani na chombo anachotumikia, nani ambaye kesho atataka kuhojiwa kwenye kipindi chake? Ajifunze kwa Albert Chilala wa Channel Ten, kipindi chake ni mubashara lkn haruhusu hisia binafsi kumtawala.Inategemea ilikuwa katika mazingira gani, musipende kuvifanya vitu kuwa
vigumu.
Mwandishi lazima ararajie majibu na asiyotazamia kwenye mahojiano lkn lazima awe reserved na kujua kuwa umma unamtazama, lazima ajitahidi kutunza heshima ya kipindi. Kumbuka, kituo hakiwezi kuadhibiwa kwa kosa la interviewee lkn kinaweza kupata adhabu kwa kosa la interviwer/host.Mkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MALOFA mpaka leo hii kimya kwani kuropoka ni tusi na Rungwe alizungumzia ujenzi wa magorofa ya huko Buguruni tena kwa msisitizo anasema nimepita pale jana tu sijaona kitu chochote labda kama wanajenga underground ila mimi sijaona chochote pale Sam akamuuliza una uhakika? Rungwe ndiyo sijaona chochote pale kwa macho yangu labda nitumie macho yako
.Sasa kama siyo kuropoka nini NB
kuropoka siyo tusi
Hii ni kwa kuzingatia yafuatayo.1. CUF LIPUMBA VS CUF MAALIM SEIF ZIKO KWENYE KOMA SAIVI.2 NCCR YA MBATIA NDIO ILE ALIONDOKA NAYO MREMA KWA SASA NDIO KABSAA INAKUFA KUFA.. 3. CHADEMA NAYO INAJIFIA SIO MUDA MREFU DJ MBOWE NA LOWASA WAMESABABISHA UFA KATI YA CHADEMA ASILIA VS CHADEMA MAKAPI.
4. ZITO NDIO HUYOOO KILA UCHAO ANAKIMBIWA. WA MWISHO ASISAHAU KUFUNGA MLANGO.
LEO HASHIMU RUNGWE AKIHOJIWA NDANI YA ITV AMEAMBIWA LIVE NA SAM MAHELA KUWA ANAROPOKA. HAJIELEWI. SASA NDIO UPINZANI WA KUIONDOA CCM MADARAKANI. JE UKO SERIOUS KWELI??
Anafikiri atapata ulaji kama wa gg kwa kumwambia mh. HashimNatazama kipindi cha dk 45, Sam Mahela anamhoji Mh Hashim Rungwe ITV.
Mh Rungwe alikua anaeleza mtazamo wake juu ya vipaumbele vya serikali kwa sasa, na akatoa mawazo yake kama yeye angepata bahati ya kwenda Ikulu, lakini cha kushangaza Sam Mahela akamwambia Mh Rungwe kua anauhakika na anachokoongea au ANAROPOKA TU'
Kiukweli sikitendo cha kiungwana kumwambia mh Rungwe anaropoka, kakosa neno jingine la kumwambia mpaka atamke neno kali namna hiyo.
Kabisa uko sahihi, Sam ameanza kufanya kazi zake kwa kutafuta umaarufu flani kwa ili aonekane na wakubwa.. nilikuwa namkubali sana huyu bwana mdogo ila kwa sasa duuuuh amekuwa mnafiki mkubwa sana!Kwa niliyemfuatilia Sam Mahela kwa muda mrefu jinsi anavyoendesha kipindi cha dakika 45, saikolojia inanipa picha ya mambo mawili makubwa kumhusu mtangazaji huyu:
1. Kuna upande huwa anaegemea kila anapohoji mtu mwenye itikadi au mtazamo tofauti na wake au anayetoa majibu tofauti na aliyonayo yeye.
2. Anafanya kazi zake katika kipindi hicho mindset yake ikiwa imelenga katika kujijenga aonekane kwa mamlaka fulani za uteuzi wala si kwa mwajiri wake. Yuko tayari aharibu kwa mwajiri wake lakini amfurahishe kiongozi wa kisiasa anayemtazama.
Mwanasiasa anayeenda kufanya kipindi na Sam Mahela inambidi awe anajitafakari kama wasifu wake unakaribiana naye kiitikadi na kimtazamo.
Ulushawahi kutoa wazo kama hilo kwamba chadema wamfukuze Lisu kwa kumuita rais anaropoka?Sam Mahela ni wakala wa CCM hapo ITV, ni kama alivyokuwa yule aliyepata ukuu wa wilaya,nadhani hata taarifa za habari huwa anazivujisha kabla hazijatoka
Pia nadhani hata baadhi ya maswali ya kuuliza na wageni wa kualika huchaguliwa na ccm
ITV imfukuze kazi mapema kabla hajawavuruga au apelekwe kwenye vipindi vya watoto
Umenena vyema sana mkuuKwa niliyemfuatilia Sam Mahela kwa muda mrefu jinsi anavyoendesha kipindi cha dakika 45, saikolojia inanipa picha ya mambo mawili makubwa kumhusu mtangazaji huyu:
1. Kuna upande huwa anaegemea kila anapohoji mtu mwenye itikadi au mtazamo tofauti na wake au anayetoa majibu tofauti na aliyonayo yeye.
2. Anafanya kazi zake katika kipindi hicho mindset yake ikiwa imelenga katika kujijenga aonekane kwa mamlaka fulani za uteuzi wala si kwa mwajiri wake. Yuko tayari aharibu kwa mwajiri wake lakini amfurahishe kiongozi wa kisiasa anayemtazama.
Mwanasiasa anayeenda kufanya kipindi na Sam Mahela inambidi awe anajitafakari kama wasifu wake unakaribiana naye kiitikadi na kimtazamo.
Nazani mindset yako na ya Sam Mahela sawa sawaMkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MALOFA mpaka leo hii kimya kwani kuropoka ni tusi na Rungwe alizungumzia ujenzi wa magorofa ya huko Buguruni tena kwa msisitizo anasema nimepita pale jana tu sijaona kitu chochote labda kama wanajenga underground ila mimi sijaona chochote pale Sam akamuuliza una uhakika? Rungwe ndiyo sijaona chochote pale kwa macho yangu labda nitumie macho yako
.Sasa kama siyo kuropoka nini NB
kuropoka siyo tusi
so what do you want to say? kwamba samu anaweza kumfkia kwa mwaka mmoja?, Wapo mawaziri hawamfikii Spunda kiuchumi, huyo Mzee anafanya siasa kwa ajili ya mambo mawiki, ajifurahisha au tuseme anapenda siasa,pili ; anatafuta popularity inayomsaidia kwenye biashara zake . Hata akiingia tra anaweza aspange foleni . Yeye samu huenda anaamini jinsi ya kutusua kwenye maisha ni kwa kupitia kuteuliwa tu.Angalia tofauti ya umri....within a year mtu anaweza kuwa bilionea