Samahani, naomba kama kuna mwenye kufahamu iwapo mtu amesahau password ya kwenye account ya Salary slip portal afanyeje. Maana namba yao waliyoweka kwenye website yao haipokelewi.
Habari wana JF. Samahani, naomba kama kuna mwenye kufahamu iwapo mtu amesahau password ya kwenye account ya Salary slip portal afanyeje. Maana namba yao waliyoweka kwenye website yao haipokelewi.
Natanguliza shukran.
Mbona website Yao ya kutolea salaryslip haifunguki Kama miezi mitatu iliyopita Wana tatizo Gani? Kama Kuna namna nyingine ya kupata salaryslip tujulishane tafadhali.
Mbona website Yao ya kutolea salaryslip haifunguki Kama miezi mitatu iliyopita Wana tatizo Gani? Kama Kuna namna nyingine ya kupata salaryslip tujulishane tafadhali.
Samahani, naomba kama kuna mwenye kufahamu iwapo mtu amesahau password ya kwenye account ya Salary slip portal afanyeje. Maana namba yao waliyoweka kwenye website yao haipokelewi.