Na bado mkwanja unatesa viwanja/ ni vichwa vya nyanja/ maumivu kote na ganja / tawala mic kijanja/ sasa mc vizuri muda hu kudanja/ na tupa mawe fikra miba vichaka vyote nachanja/ tafadhali kaa mbali .. kaa mbali ni hatari/ hapa utalamba tope maktaba kwisha labda ukakope/ unauliza nini jivukoni nilipowaziba babazoni / yeah!... babazoni Usoni vipi maji shingoni/ sema..!!.. P funk ......!!
Yeah naona vigongo wa chance Donge la wakaba Angani ninapoleta mambo haya/ mambo yangu si haba mwanga Course nyunyiza vina kwenye vibaba..