Sad but so true

I beg to differ ,napenda mwanamke mzuri sana kwa umbo na sura ,sihitaji ushauri wake kwa sababu kiukweli najiona ni smart boy( from the neck up), pia akinizingua sioni kazi kuachana nae .

Yes, I understand you kutokana na iyo name yako! Kweli kabisa leo leo
 
wanaume wa siku hzi wanaangalia mwanamke anafanya kazi wapi ndo wanaoa....!!!!
alafu wanapenda kulelewa ile mbaya....... ndo mana wanamegewa kila kukicha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…