S3 inauzwa

S3 inauzwa

Simbamteme

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
808
Reaction score
2,152
Simu S3 neo inauzwa. Bei lak 3.. Mahali nilipo Mbeya.Ina miezi 8 tangu inunuliwe.Ipo katika hali nzuri. Kwa mawasiano 0714233936
1472727085698.jpg
1472727097565.jpg
 
Hii simu ilitakaga kunipa wazimu!
Niliipenda sana ilipoharibika mbona nilikonda?
Simu nzuri sana.
 
Hii simu ilitakaga kunipa wazimu!
Niliipenda sana ilipoharibika mbona nilikonda?
Simu nzuri sana.
Achah!kabisa mimi nina S5 in a miez2 imebuma namsikia mmtu kwa mbali sana mmpaka loud speaker cha ajabu haitengenezeki presha ilinipanda nilijikaza lime sasa nimezoea
 
Achah!kabisa mimi nina S5 in a miez2 imebuma namsikia mmtu kwa mbali sana mmpaka loud speaker cha ajabu haitengenezeki presha ilinipanda nilijikaza lime sasa nimezoea
Si bora wewe bado inapiga mzigo?Mimi ilikufa kabisa.
Ilikuwa mwaka jana mwezi kama huu...nilitadataaa!
 
Achah!kabisa mimi nina S5 in a miez2 imebuma namsikia mmtu kwa mbali sana mmpaka loud speaker cha ajabu haitengenezeki presha ilinipanda nilijikaza lime sasa nimezoea
Si bora wewe bado inapiga mzigo?Mimi ilikufa kabisa.
Ilikuwa mwaka jana mwezi kama huu...nilitadataaa!
Mshachafua hali ya hewa hapa, sijui kama biashara jamaa ataifanya.

Fanyeni reputation kwa mdau!
 
Unajua samsung ni simu nzuri mm ninayao s3 min lite na haisumbui ipo safi sana tatizo la samsung ni yeboyebo now kika mtu samsung tecno now mwendo wa iphone tu
 
Mshachafua hali ya hewa hapa, sijui kama biashara jamaa ataifanya.

Fanyeni reputation kwa mdau!
Hapana, simu kuharibika sio kwamba ni zote hazifai.
Mbona bado natumia kampuni ya Samsung pamoja na janga hilo lililonipata?
 
Hazina dili nowdays mi yangu naiuza laki mbili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom