A A Preacher Member Joined Jul 14, 2011 Posts 62 Reaction score 23 Dec 7, 2014 #1 Arusha kata ya Unga ltd mtaa wa Migungani, vijana wa bodaboda wamepewa 'viroba' kibao na vijana wamevalia sare za ccm, sasa vijana wameshindwa kufanya kazi yao ya bodaboda wamelewa, yani ni shida...
Arusha kata ya Unga ltd mtaa wa Migungani, vijana wa bodaboda wamepewa 'viroba' kibao na vijana wamevalia sare za ccm, sasa vijana wameshindwa kufanya kazi yao ya bodaboda wamelewa, yani ni shida...
Filipo JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 9,347 Reaction score 5,553 Dec 7, 2014 #2 CC: MSALANI, laki si pesa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Joined Oct 13, 2013 Posts 18,925 Reaction score 13,279 Dec 7, 2014 #3 Huu Mchezo huwa unafanywa na CHADEMA.
MUSSA ALLAN JF-Expert Member Joined Oct 13, 2013 Posts 18,925 Reaction score 13,279 Dec 7, 2014 #4 Kuwapa vijana viroba na mirungi.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,991 Reaction score 132,357 Dec 7, 2014 #5 duh ccm wana mbinu za kipuuzi sana