Jmaa alipo ona kuwa kakosa alicho kitaka, sasa aenda ikulu na kumuomba kikwe ampe hata vitimaalum bungeni akapige kelele huko,
Kwakuwa kikwe alikuwa adui yake kipindi cha uchaguzi akaamuru walinzi wamtoe nje na wampe chai hukohuko nje anywe kisha atoweke kabisa...
ujue Rungwe bonge la mtu ukimuweka bungeni pale unatengeneza picha nzuuuriiiii, lakini JK halijui hilo
Hata Hivyo si katengeneza jina? kabla ya hapo nani alikuwa anamjua ukiacha ndugu na jamaa zake, wala hajatumia nguvu zake kukampaign zaidi ya ku pring picha zake chache