Msanii wa bongo flava roma mkatolik amwaga sir nzito wakat anapokea tuzo za kil music award katka ukumbi wa mliman city jana baada ya kuwafanansha wabongo na punda kaul hio iltolewa na roma huku aksema wabongo hatuendelei kwasababu ya majungu ktk afla hio roma alpokea tunzo mbili ambazo n nyimbo bora ya hiphop na msanii bora wa hiphop.
Si kweli hapo kwenye red.....check with your source please
Mzee na mwanae wanasafiri wakiwa na punda na kila kijiji walipewa comments kutokana na jinsi walivyokuwa wakimtumia punda yule kama kipando...... hakuna sehemu alitufaninisha wabongo na punda...NO NO NO plz
Msanii wa bongo flava roma mkatolik amwaga sir nzito wakat anapokea tuzo za kil music award katka ukumbi wa mliman city jana baada ya kuwafanansha wabongo na punda kaul hio iltolewa na roma huku aksema wabongo hatuendelei kwasababu ya majungu ktk afla hio roma alpokea tunzo mbili ambazo n nyimbo bora ya hiphop na msanii bora wa hiphop.
kwli kila mtu anauelewa wake wengine wagumu kuelewa wengine hawaelewi kabisa
Msanii wa bongo flava roma mkatolik amwaga sir nzito wakat anapokea tuzo za kil music award katka ukumbi wa mliman city jana baada ya kuwafanansha wabongo na punda kaul hio iltolewa na roma huku aksema wabongo hatuendelei kwasababu ya majungu ktk afla hio roma alpokea tunzo mbili ambazo n nyimbo bora ya hiphop na msanii bora wa hiphop.
Sasa hapa siri nzito iko wapi?mbona mnakuza mambo?