Kwan serikali imeeafelisha au ......serikali ndo Baba yao ......au ....serikali ina agenda binafsi na waliofeli? Mi ninachojua serikali na wafadhili hujitua mzigo wa kusomesha pale mwanafunzi anapofeli mtihani na hapo haki ya kuitwa mwanafunzi inapotea hadi utakapoamua kujiunga tena na mfumo