President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,010
- 93,371
Ndio maana nikasema wote sayansi na dini wapo kwenye Imani. Tofauti yao ni approach.Zinashindana kwani dini inasema "amini ndipo uelewe ila sayansi inasema elewa ndipo uamini "
Sayansi inauliza why pia.Kwanza kabisa nawasalimia.
Leo napenda kuongelea makundi haya mawili duniani. Dini na Sayansi.
Kumekuwa na mjadala mkubwa mno duniani kuhusu haya makundi. Kwanza kabisa kabla ya kuendelea ninapenda kuongelea kitu kinachoitwa faith. Kila mtu dunia yupo na faith kuanzia mototo mpaka Mzee. Unaweza ukawa na faith na daktari, baba, mke wako, elimu, Mungu nk.
Katika suala la faith haijalishi kuwa mwanasayansi au mtu wa dini wote wanakuwa na faith.
Sasa tunakuja kwenye upande wa dini. Dini zimekuwapo miaka na miaka na zinaendelea kuwepo. Msingi mkubwa wa dini ni kwenye swali la WHY!? Kwanini kuna magonjwa, kwanini jua linatoa mwanga nk. Zipo dini za aina tofauti tofauti zingine zipo za zinazoamini Mungu mmoja, zingine Miungu wengi na zingine haziamini uwepo wa Mungu.
Katika kutafuta kujibu swali la why!? Ndipo zinatokea dini na Imani tofauti tofauti kulingana na ujibuji wa swali hilo.
Kwa upande wa sayansi. Kila mtu ni mwanasayansi tangu akiwa mototo. Msingi mkubwa wa sayansi ni kujibu swali la HOW. Mfano ukipewa USB uchomeke kwenye laptop Utakuwa na observation, utatengeneza Hypothesis, Experiment baadae conclusion. Kama conclusion itakuwa poa utatengeneza theory. Kwamba kumbe kuchomeka USB kwenye Laptop alama inayoonesha logo ya USB inatakiwa kuwa juu.
Sasa basi. Kutokana na maelezo haya ni kwamba mwanasayansi na waumini wa dini hawana ugomvi wowote. Bali ugomvi uliopo ni Dini baina ya Dini au Wanasayansi baina ya Wanasayansi.
Ni hayo tu.
Lakini ukiangalia mwisho wa siku alikuja akaangukia kwenye HOW ndio maana tukapata First Newton Law of Motion.Sayansi inauliza why pia.
Mfano. Newton aliuliza, why do things fall down and not up. Akafuatilia mpaka kujua kanuni za gravity.
Your assertion is simplistic.
That does not mean hakuuliza why.Lakini ukiangalia mwisho wa siku alikuja akaangukia kwenye HOW ndio maana tukapata First Newton Law of Motion.
Tukapata F = MA
Duh!!!That does not mean hakuuliza why.
Kusema dini inauliza why na sayansi inauliza how ni uongo.
Zaidi, kwenye dini maswali mengine ni kufuru.Unatakiwa kuamini bila kuhoji.
Mfano, maswali yasiyoonesha heshima kwa Mungu yamekatazwa katika Ukristo na Uislamu. Sasa hapo utasema vipi dini inauliza why?
Umekubali kwamba why si swali la dini tu?Duh!!!
Ngoja basi twende details katika swala hili.
Vivyo hivyo kwenye sayansi kuna mambo mengi tu yamewekwa na hutakiwi kuhoji.
Kwa mfano tukianza na atomic structure, hakuna proof yoyote inayotueleza kuwa Atom ipo kama tulivyo karirishwa.
Big bang theory vivyo hivyo ni maelezo tu yasiyo na proof yoyote maana unaletewa taarifa za miaka billions.
Kuna mambo mengi tu ambayo sayansi inafanya mambo yale yale kama ya dini.
At the end of days sayansi itapitia katika scientific research na kuweka conclusion kujibu swali la How.
Mbona umechagua theory moja tu.Umekubali kwamba why si swali la dini tu?
Big Bang Theory inahojiwa kila siku katika sayansi.
Usifanye kukosa habari kwako kuwe lawama juu ya sayansi.
Unataka niweke habari za Big Bang Theory kuhojiwa katika sayansi tuzijadili hapa?
Yes kwa sasa Michio kaku na String Theory anaongelea Gods Mind.TESLA the best student of God
Mbona swali hili linajibiwa vizuri na imani za kidini. Kwa imani inayo amini Mungu mmoja utapata jibu kulingana na Imani hiyo. Kwa imani inayoamini Mungu wengi utapata jibu kulingana na imani hiyo.Venus star, umesema dini inajibu swali la "why " je hapa jibu lake ni nini? Why God allows Evil? Bila kujikanyaga na uweke imani pembeni
Umekubali kwamba Big Bang Theory kuna wanasayansi wanaihoji?Mbona umechagua theory moja tu.
Nimeongelea Atomic Structure.
Halafu sijasema kuwa why question linaulizwa na wanasayansi bali nimesema how question.
Nikakuambia methodologies zote za kisayansi ni kujibu swali la how.
Ziwe imani mbovu, maandiko mabovu ya kidini lakini lengo lake ni kujibu why!?
Katika kujibu hivyo haijitaji practical kuthibitisha.
Hata hivyo theories zote za kisayansi zinakuwepo kwa wati fulani kutokana na uelewa wa wakati ule.
Sasa hivi theories kubwa zilizipo ni:-
1. Quantum Mechanics theory. Which deals with small particles
2. General relativity Theory.
Zipo hivyo kwa sasa kwa sababu hakuna tens ugunduzi mpya utakao uondoa huu wa sasa.
Tatizo lako unakikbilia kwenye maswali ya darasani.Umekubali kwamba Big Bang Theory kuna wanasayansi wanaihoji?
Ukikubali tutaenda kwenye atomic theory.Kwenye sayansi watu wanahoji kila kitu.Einstein kathibitisha Relativity mwaka 1919 kwa Sir Arthur Eddington's expedition, mpaka leo watu wanajaribu kuipinga relativity, licha ya kusimama imara miaka 100.
Nimekuambia hivi, wewe umesema why linaulizwa na dini, how linaulizwa na wanasayansi, huo ni uongo, kwa sababu hata wanasayansi wanauliza why. Nikakupa mfano wa Newton alivyojiuliza why do things fall down and not up.
Hujakanusha hilo.
Hayo mengine ya Quantum mechanics na Relativity sijakuuliza.
Na hata hayo kuna sehemu zilipatikana kwa kuuliza maswali ya why.
Kwa mfano,
Relativity
Question: Why do stars that are near the sun appear to be where they are not?
Answer: Because massive objects such as the sun bend space.
Quantum Physics
Question: Why do we see objects having different colors?
Answer: Because they are able to selectively absorb and reflect different wavelengths of visible light.
Sasa hayo maswali ya why yanayojibiwa na sayansi ni ya kidini hayo?
Newton hakujibu swali la why do things fall down and not up?Tatizo lako unakikbilia kwenye maswali ya darasani.
Mimi nimekueleza kuwa lengo la sayansi ni kujibu maswali How.
Twende taratibu tu utaelewa tu.
Tuanze na Newton. Tungeweka namna ya maswali yote yanavyo ulizwa
What, where, who, which, when, why, how yote hayo. Lakini ninachoongelea hapa sayansi yenyewe imejikita katika kujibu swali lipi.
Scientific research from observation, hypothesis, experiment, conclusion and Generate theory lengo lake ni kujibu swali la how. Ndiyo maana scientific research zina involve experiment.
Sijui umenielewa hapo!?
Pill: Tunakuja kwenye theory ya Big bang. Ndio maana nikakuambia ni hivyo hivyo tu sawa na dini. Wapo wanakashifu dini nyingine lakini upande mwingine unatoa maelezo kuthibitisha.
Ukiwafuatilia waumini wa Big Bang wanakupatia calculations na ndio maana kuna somo linaitwa cosmology msingi wake ni huo Big Bang.
Ninataka uniletee scientific research inayojibu swali la why.