Ahadi hii ya kujenga Reli ya kati kwa kiwango cha standard gauge ilitolewa mwaka 2005, katika serikali ya awamu ya nne hawakuweza kutekeleza kwa miaka yote kumi, serikali hii kutangaza zabuni ni mafanikio makubwa, labda kama haujui maana ya Zabuni ndio utashangaa.