Duuhhhh......haya mambo ya 1970.Amini usiamini.
....kama utafanikiwa kuipata narudia kama utafanikiwa kuipata hautampata mnunuzi yaani huyu anayehitaji atatokomea kusikojulikana.
CHUKUWA MANENO YANGU KAMA AKIBA.
Duuhhhh......haya mambo ya 1970.Amini usiamini.
....kama utafanikiwa kuipata narudia kama utafanikiwa kuipata hautampata mnunuzi yaani huyu anayehitaji atatokomea kusikojulikana.
CHUKUWA MANENO YANGU KAMA AKIBA.
Nenda tanga sehem moja korogwe panitwa Tewe,ukifika pale Tewe muulizie jamaa mmoja anaitwa Majini saba au kaka yake anaitwa Sembe atakupeleka kwenye pango ilipo mtaelewane wenyewe