Reception ya mwanamke iko wapi?

Kwahiyo wanawake kwa mama zao sio watoto?

Akifika wakati wakuzaa sio mtoto tena ni mama, ndio maana hata mme wangu ananiita mimi mama maana anajua kuwa mwanamke ni mzazi na nina thamani ya mama muda wote na mwanamke ndio anaweza kucontrol maswala yote ya familia. aisee! hili halipingwi kabisa.
 
Kwa maana hiyo ukizaa tu utoto kwa mama yako unaisha sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…