Tumewakung'uta mabao matatu safi leo kelele zote zimeisha. Walikuwa wanachonga sijui hatuna beki za kuwazuia wakina Suarez sijui Nymar na Messi. Wamepigiwa mpira mpaka hawaonani, wamebaki kumlaumu refa tu.
Tumewakung'uta mabao matatu safi leo kelele zote zimeisha. Walikuwa wanachonga sijui hatuna beki za kuwazuia wakina Suarez sijui Nymar na Messi. Wamepigiwa mpira mpaka hawaonani, wamebaki kumlaumu refa tu.