Sergio Ramos alikuwa na Calf injury ndio maana hata mechi ya timu yao ya taifa hakuwepo kabisa. Sasa hivi wanasema inawezekana yupo fit, lakini wameshindwa kwenda nae Uingereza kwa ajiri ya mechi ya leo, kwasababu wanamwacha awe fit 100% kwenye mechi na Barcelona.
Huu uzi umefufuka? Maana ni doro, hauna tofauti na ule uzi wetu wa NBA-Finals
Mpira dk.90 anything can happen, lakini sioni kwa namna gani kuku wa Anfield ataepuka kugeuzwa supu leo
Huu uzi umefufuka? Maana ni doro, hauna tofauti na ule uzi wetu wa NBA-Finals
Mpira dk.90 anything can happen, lakini sioni kwa namna gani kuku wa Anfield ataepuka kugeuzwa supu leo