Dah! Yaani Juve wanatufanyisha makosa kiasi hiki? Tukifungwa ndio mpaka next year kama ntakuwa naikumbuka password. Just hold it down strong for the blancos, msiwaruhusu watuzoee.
Hapo Coach angekuwa na akili, unarudisha Ramos kucheza kama defender na Pepe + Varane, kiungo amechemka. Sogeza Marcelo na Carvajal katikati, Isco na James mbele, Bale out for Chicharito.
Hapo Coach angekuwa na akili, unarudisha Ramos kucheza kama defender na Pepe + Varane, kiungo amechemka. Sogeza Marcelo na Carvajal katikati, Isco na James mbele, Bale out for Chicharito.
Hapo Coach angekuwa na akili, unarudisha Ramos kucheza kama defender na Pepe + Varane, kiungo amechemka. Sogeza Marcelo na Carvajal katikati, Isco na James mbele, Bale out for Chicharito.
Carlo hakuona hilo, Ramos hakucheza kiungo vizuri na Varane na Pepe walikuwa wanakatika mara zote, halafu yule Bale alitakiwa aende bench dakika 30 za mwanzo. Huyu mzee anatunyima starehe kabisa, game ya kushinda hata goli 3 tunafungwa sisi.