Vijana wemetuheshimisha tena., Pongezi nyingi kwa Carlo Ancelloti na bench lake la ufundi pamoja na team kwa ujumla., bila kusahau Management ya club ikiongozwa na Prezzo Florentino Perez na mwisho kabisa to you Madridistas mlio-onyesha moyo wa Imani kwa vijana wetu.
HalaMadrid