Natafuta simu 1 Kati ya hizi either nokia e52 or e55 yenye kila kitu( earphone,charger,USB cable na if possible cd yake). Na kama ipo napata kwa sh. Ngapi?uki ni pm itakua jambo la kheri.
je betri zake zinapatikana au ndio nianze kutembea na charger kokote niendako..ngoja nipitie posta nikipata duk linalouza genuine nitakuchek tufanye bizness
Natafuta simu 1 Kati ya hizi either nokia e52 or e55 yenye kila kitu( earphone,charger,USB cable na if possible cd yake). Na kama ipo napata kwa sh. Ngapi?uki ni pm itakua jambo la kheri.