Muda mfupi uliopita Okwi amesaini kandarasi ya kuitumikia Simba kwa miaka miwili.Hongera Simba SC.
Utajua uwanjaniKiwango bado ni kilekile??
Okay sawa.Utajua uwanjani
Tambwe na okwi mzee nanOkwi nenda,okwi rudi huyu kaja kula pesheni aseee
Wote wazee hawaTambwe na okwi mzee nan
Tambwe babu sanaWote wazee hawa
Tanzania imekuwa kiwanda cha wastaafu?
Afrika bado tuna kazi kubwa katika udanganyifu. Okwi ameanza kucheza ligi kuu kwa 2009 na kaja Simba 2010 akionekana kijeba kabisa. Ina maana alianza kucheza ligi kuu akiwa na miaka 17?Emmanuel Arnold Okwi is a Ugandan professional football player who plays as a striker for the Uganda national football team. He played football as a boy while at St. Henry's College Kitovu. wikipedia.org
- Born: December 25, 1992 (age 24), Kampala
- Nationality: Ugandan
- Height: 5'9" (1.76m)
Ingawa mimi ni mwanachama wa Simba lakini siafiki kabisa usajili wa Okwi. Ana kipi kipya? Ameshachoka na kitabia ana usumbufu sana. Kwa ujumla huu ni mzigo tunaotaka kujitwishaAfrika bado tuna kazi kubwa katika udanganyifu. Okwi ameanza kucheza ligi kuu kwa 2009 na kaja Simba 2010 akionekana kijeba kabisa. Ina maana alianza kucheza ligi kuu akiwa na miaka 17?
Bora Okwi kuliko BlagnoniIngawa mimi ni mwanachama wa Simba lakini siafiki kabisa usajili wa Okwi. Ana kipi kipya? Ameshachoka na kitabia ana usumbufu sana. Kwa ujumla huu ni mzigo tunaotaka kujitwisha